• About
  • Advertise
  • Careers
  • Contact
Monday, December 16, 2019
No Result
View All Result
NEWSLETTER
Swahili Cloud
-18 °c
  • HOME
  • BONGO5
  • MPEKUZIHURU
  • MWANANCHI
  • SWAHILITIMES
  • MICHUZI
  • HOME
  • BONGO5
  • MPEKUZIHURU
  • MWANANCHI
  • SWAHILITIMES
  • MICHUZI
No Result
View All Result
Swahili Cloud
No Result
View All Result

Home Mpekuzi Huru

Wawekezaji kutoka nchi za nje wakaribishwa kuwekeza nchini baada ya vikwazo vilivyokuwepo kuondolewa

by InterWolf
August 14, 2019
in Mpekuzi Huru
0
Wawekezaji kutoka nchi za nje wakaribishwa kuwekeza nchini baada ya vikwazo vilivyokuwepo kuondolewa
Share on FacebookShare on Twitter

NA Avitus Benedicto Kyaruzi, Kagera.

RelatedPosts

Askari JKT Wadaiwa Kuua Raia Kwa Kipigo

Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es salaam Watishia Kuandamana Kwenda Bodi Ya Mikopo

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu December 16

Waziri  Mkuu wa Tanzania Kasim Majaliwa amezindua wiki ya uwekezaji KAGERA na mwongozo wa uwekezaji katika mkoa huo kwa kuwaomba wawekezaji kutoka nje ya nchi kuchagamkia fursa zilizoko nchini baada ya vikwazo vilivyokuwepo hapo awali kuondolewa.
Akifungua mwongozo huo Waziri Mkuu amesema kuwa hivi sasa mtu anayetaka kuwekeza nchini anaweza kuanza mchakato akiwa popote kupitia mfumo wa tehama unaowezesha vitu vingi vya uwekezaji kufanyika kwa njia ya mtandao.
Mapema Mkuu wa mkoa  Kagera Brigedia General  Marco Gaguti amesema maeneo makubwa ya uwekezaji yapo katika sekta za kilimo,utalii,ufugaji,uvuvi,viwanda,misitu,madidini na huduma za kijamii.
Wiki ya uwekezaji Kagera iliyoanza  august 12 mwaka huu itahiitimishwa august 17 mwaka huu ambapo shughuli mbalimbali ikiwemo kutambua maeneo ya uwekezaji ,namna ya kuwekeza yanajadaliwa na wadau kuoanga namna ya kuwekeza katika maeneo hayo

Advertisement


Dinemart Online Grocery Ordering & Delivery

==
Advertisement

Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi

==

taboola apo chini

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )

Loading…

Chanzo


ShareTweetShare

Related Posts

Askari JKT Wadaiwa Kuua Raia Kwa Kipigo

Askari JKT Wadaiwa Kuua Raia Kwa Kipigo

by InterWolf
December 16, 2019
0

Polisi mkoani Rukwa inawashikilia vijana watano wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwanakijiji Sabato...

Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es salaam Watishia Kuandamana Kwenda Bodi Ya Mikopo

Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es salaam Watishia Kuandamana Kwenda Bodi Ya Mikopo

by InterWolf
December 16, 2019
0

Serikali ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Daruso) imetoa saa 72 kwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu December 16

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu December 16

by InterWolf
December 16, 2019
0

Loading... Advertisement Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi taboola apo...

Watu 37 Walazwa baada ya kula chakula chenye sumu msibani

Watu 37 Walazwa baada ya kula chakula chenye sumu msibani

by InterWolf
December 15, 2019
0

Watu 37 wamelazwa katika hospital ya rufani jijini Dodoma baada ya kusadikiwa wamekula chakula chenye sumu katika msiba uliotokea eneo...

Mwalimu Mkuu Atiwa Mbaroni na TAKUKURU Kwa Rushwa ya Ngono Kwa Mwanafunzi Ili Ampe Cheti

Mwalimu Mkuu Atiwa Mbaroni na TAKUKURU Kwa Rushwa ya Ngono Kwa Mwanafunzi Ili Ampe Cheti

by InterWolf
December 15, 2019
0

TAKUKURU Mkoani Dodoma wanamshikilia Mkuu wa Shule ya Sekondari Serengeti iliyopo Serengeti Mkoani Mara, Baraka Sabi kwa tuhuma za kuomba...

TAHADHARI Kwa Umma Kuhusu Utapeli Msamaha wa Rais

TAHADHARI Kwa Umma Kuhusu Utapeli Msamaha wa Rais

by InterWolf
December 15, 2019
0

Loading... Advertisement Usipitwe na Habari Yoyote. Install Mpekuzi App kwenye Simu Yako Upate Habari Zetu kwa Wepesi Zaidi taboola apo...

Next Post
Yaelezwa maafisa Kenya wafukua mwili ili kuuvua sare za kazi, Fahamu zaidi

Yaelezwa maafisa Kenya wafukua mwili ili kuuvua sare za kazi, Fahamu zaidi

Utata Kifo Francis Cheka: Mkewe Afunguka Kila Kitu – Video

Utata Kifo Francis Cheka: Mkewe Afunguka Kila Kitu – Video

PBZ yamwaga misaada ya vifaa vya afya ikiwemo mashine za uchunguzi

PBZ yamwaga misaada ya vifaa vya afya ikiwemo mashine za uchunguzi

Recommended

MICHUZI UPDATES: MAHAKAMA YA RUFANI YATUPILIA MBALI MAOMBI YA MAREJEO YA HUKUMU YA BAGENI

MICHUZI UPDATES: MAHAKAMA YA RUFANI YATUPILIA MBALI MAOMBI YA MAREJEO YA HUKUMU YA BAGENI

4 months ago
Bodi ya Mikopo (HESLB) yaongeza muda wa kuomba Mkopo

Bodi ya Mikopo (HESLB) yaongeza muda wa kuomba Mkopo

4 months ago

Popular News

    • About
    • Advertise
    • Careers
    • Contact

    © 2019 All Rights Reserved by GOD

    No Result
    View All Result
    • HOME
    • BONGO5
    • MPEKUZIHURU
    • MWANANCHI
    • SWAHILITIMES
    • MICHUZI

    © 2019 All Rights Reserved by GOD

    Login to your account below

    Forgotten Password? Sign Up

    Fill the forms bellow to register

    All fields are required. Log In

    Retrieve your password

    Please enter your username or email address to reset your password.

    Log In